Hapa utajifunza kuhusu maradhi yanayosababishwa na Bakteria
Huu ni mfululizo mpya wa masomo yanayohusu maradhi yanayosababishwa na Bakteria
Katika somo hili utakwenda kujifunza sababu za kifua kikuu, dalili zake, njia za kujiepusha, na matibabu ya kifua kikuu.
Somo hili linahusu ugonjwa wa kipindupindu – ugonjwa wa kuambukiza unaoathiri mfumo wa mmeng’enyo wa chakula na kusababisha kuharisha maji maji kwa kasi.
Somo hili linazungumzia homa ya matumbo, ugonjwa wa kuambukiza unaosababishwa na bakteria wa aina ya Salmonella typhi.
Join thousands of students who are advancing their careers with BongoClass
Enroll Now