Maradhi ya Bakteria

Hapa utajifunza kuhusu maradhi yanayosababishwa na Bakteria

4 Lessons
0 Topics
Author: Rajabu
4.8 (120 Reviews)
Unlock Full Course Access

Please login or register to access all lessons, track your progress, and earn certificates.

Course Curriculum

1
Maradhi yanayosababishwa na Bakteria

Huu ni mfululizo mpya wa masomo yanayohusu maradhi yanayosababishwa na Bakteria

15 min Video
2
Maradhi ya Kifua Kikuu (Tuberculosis)

Katika somo hili utakwenda kujifunza sababu za kifua kikuu, dalili zake, njia za kujiepusha, na matibabu ya kifua kikuu.

15 min Video
3
Ugonjwa wa Kipindupindu (Cholera) dalili, matibabu na sababu zake.

Somo hili linahusu ugonjwa wa kipindupindu – ugonjwa wa kuambukiza unaoathiri mfumo wa mmeng’enyo wa chakula na kusababisha kuharisha maji maji kwa kasi.

15 min Video
4
Homa ya Matumbo (Typhoid)

Somo hili linazungumzia homa ya matumbo, ugonjwa wa kuambukiza unaosababishwa na bakteria wa aina ya Salmonella typhi.

15 min Video

Ready to start learning?

Join thousands of students who are advancing their careers with BongoClass

Enroll Now