PYTHON - somo la 2: Sheria za uandishi wa pyhton yaani syntax za python


image



Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python



Kujuwa kanuni ni jambo la kwanza na la msngi zana kwa kila luga ya kikompyuta. Kanuni hizi zitakurahisishia hatua za ujifunzaji na utendeaji kazi wa language hiyo.

 

  1. KWENYE COMMENT

Kwanza tutajifunza kuweka comment. Comment ni hint ambazo programmer anaandika kwa lengo la kuelezea mstari wa code na kikundi cha code. Melezo haya huwa komyuta inayapuuza wakati wa ku run program. Yaani comment haikuhsiki katika utendaji kazi wa program.

 

Kwa ufui unaweza kusema commect ni maelekezo kwa ajili ya programmer lakini code ni maelekezo kwa ajili ya kompyuta.

 

Sasa kwenye python comment ya mstari mmoja utaiweka kwa kuanza na alama hii yaani alama ya reli kisha itafuata comment yako. 

Mfano

#print hutumika ku dislay text

print("haloo bongoclass")

 

Code hizi zitakupa matokeo haloo bongoclass na hayo maandikshi yaliofuata baada ya reli hayatahusika kwenye program yetu. Kwa kutumia njia hiyo unaweza ku comment mistari i ngi zaidi angalia mfano hapo chini

#print hutumika ku dislay text

#alama ya reli hutumika ku comment mstari mmoja

print("haloo bongoclass")

 

Sasa endapo unataka ku comment para graph nzima utatumia alama “””  au alama hizi ‘’’ hizo ni alama za funga semi. Angalia mfano hapo chini:-

"""print hutumika ku dislay text

alama ya reli hutumika ku comment mstari mmoja

print("haloo bongoclass")

"""

print("mafunzo ya python")

 

Hizo zitakupa matokeo mafunzo ya python na maandisi yote yalobaki ni comment hivyo kompyuta imeyapuuzia. Mfano huo ni sawa na huu hapa chini:-

'''print hutumika ku dislay text

alama ya reli hutumika ku comment mstari mmoja

print("haloo bongoclass")

'''

print("mafunzo ya python")

 

2. KWENYE KUACHA NAFASI (IDENTATION)

Identation ni ile nafasi inayoachwa mwanzoni mwa code. Sasa python haio kama lugha nyingine ambapo kikundi cha code hutofautishwa na ala ya } hivyo ili inatumia identation. 

 

Angalia code hizi 

Code hizo hapo hazina shida. Lakini endapo utawacha nafasi apo itakuelea error. Tofauti na lugha yingine kama php ambazo hazijali uwache nafasi ama usiwache. Jaribu ku run code hizo hapo chini

Hizo hapo hazitafanya kazi kwa sababuumewaca nafasi apo mwanzo. Utapata identation Error

Pia kwenye code block unatakiwa uwache nafasi ili kutofautisha na code block nyingine. Kwa mfano angalia code hizi:

Code hizi tunataka program in display meseji inayosema kweli endapo namba moja ni kubwa kuliko sifuri.

Code hizo hapo hazina shida zitakupa messeji  kweli. Ukiangalia vyema code hizo neno print limeanzia mbele kidogo baada ya kuacha nafasi kumaanisha hiyo ni block ya code. Sasa endapo utaanza neno print mwanzoni kabisa hapo haitakubali. Angalia code hiz hapo chini:

Hapo utapata tena identation error

 

Pia endapo kutakuwa na block zaidi ya moja inatakiwa uwache nafasi zilizo sawa. Kama meacha mbili basi iwe mbili kwa block zote. Ngalia code hizo hapo chini

Hapo kuna shida kwa sababu space iliyoachwa kwenye block ya kwanz ni tofauti na hiyo ya pili. Sasa kutatuwa shida hiyo acha space zilizo sawa.

Hapo itakuwa sawa. Haijalishi umeacha nafasi kwa kiasi gani kubwa ama ndogo, kitu cha kuzingatia ni kuwa ziwe sawa.

Code hizo hapo juu zitatupa matokeo hayo hapo chini:-

 

3. KWENYE VARIABLE

Kwenye python variable itajulikana tu endapo itawekewa thamani yake yaani value. Ia hutumika alama ya = iki kuipa variable thamani yake. Variable ili ikubaliwe iwe hivi:

  1. Isianze na namba
  2. Isianze na special character kama@$? Na nyinginezo
  3. Usiruke nafasi endapo variable ina zaidi ya neno moja mfano kuku mkubwa inatakiw aiwe hivi kukumkubwa au kukuMkubwa
  4. Hakuna ulazima wa kutaja aina ya data kama ilivo java
  5. Kama thamani ya variable ni ya maandishi ya herufi tumia  au ‘
  6. Kama thamani ya variable ni namba usiweke hizo alama za kunukuu.

Kanuni nyingine tutaziona wakati wa tutakapoifunza kuhusu variable.

 

 4. MATUMIZI YA SEMICOLON (;)

Kwnye pyhon huna ulazima wa ktumia semicolon. Lakini endapo unataka kuunganisha statement zaidi ya moja basi hapo itakubidi utumie. Mfano

print("kweli")  print("true")

 

Code hizo hapo hazipo sawa na uki run zitakuletea error. Ili kutatua hilo unganisha hizo statement kwa kutumia semicolon.

print("kweli") ; print("true")

Hapo sasa zipo sawa.


 

Mwisho:

Hizo ni baadhi tu ya sheria za uandishi wa python, tutakwenda kujifunza sheria sheria nyingine zaidi kwenye masomo yanayofata. Somo linalofuata tutajifunza jinsi ya kuandika variable na kanuni zinazohusiana na variable.

 



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Imeandikwa na Rajabu Terehe 2023-10-20 Download PDF Share on facebook WhatsApp

RELATED POSTS

picha

Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja
picha

Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya python na kazi
picha

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza
picha

Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo
picha

Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function
picha

Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend
picha

Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika