PHP - somo la 8: jinsi ya kuandika constant kwenye PHP


image



Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable



PHP COSTANTS
Constant ni jina linalowakilisha thamani fulani. Thamani hi haiwezi kubadilika wakti wa code kufanya kazi. Constant inaweza kuanzwa kwa herufi lakini si kwa alama ya dola $ kama ilivyo kwenye variable.


Jinsi ya kuweka constant kwenye php.
Utaanza kuweka neno define likifuatiwa na mabano mfano define() ndani ya mabano utaweka jina la constant na thamani vyote vinatakiwa viwekwe kwenye funga semi.
Mfano:-

define("tunda", "Tunda ni zao la mti linalopatikana baada ya uwa");
echo tunda;
?>

Hii itakupa matokeo:
Tunda ni zao la mti linalopatikana baada ya uwa

Constant hutumika katika kuweka data ambazo hazitakiwi kubadilika wakati wa kuchakata code. Kwa mfano password na database connection.

KUTUMIA CONSTANT KWENYE PHP FUNCTION
Unaweza kutumia constant kwenye code zako zote yaani constant moja unaweza kuitumia katika code zako bila kujali ipo wapi. Kwa urahisi ni sawa na kusema unaweza kutumia constant hata kwenye function ama kwingineko.

Mfano:-
define("salamu", "halo hujambo");

function mfano() {
echo salamu;
}

mfano();
?>

Hii itakupa matokeo
Halo hujambo



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Imeandikwa na Rajabu Terehe 2023-10-18 Download PDF Share on facebook WhatsApp

RELATED POSTS

picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo
picha

Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama
picha

HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable
picha

Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi
picha

Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika
picha

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu
picha

katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku
picha

Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za
picha

Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye