PHP somo la 50: Jinsi ya kutengeneza CLASS na OBJECT kwenye PHP OOP


image



Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza class na object. Tunakwenda kutumia mfano wetu wa hapo juu kwa ajili ya kukamilisha somo hili.



Kutengeneza class utaanza na kuandika neno class likifuatiwa na jina la hiyo class, ikifuatiwa na mabano mawili, ambapo ndani ya mabano hayo ndio utaweka code za hiyo class.

 

class gari{

 

}

 

Mwanzo utaanza kuandika property za hiyo class. Property itaandikea kwa kuanza na access modifier yake. Mfano property ni jina, modifier ni public. Elewa public maana yake hiyo property inaweza kutumia kwenye hiyo class bila ya kizuizi.

 

class gari{

public $name;

public $speed;

public $transition;

}

 

Kinachofuata hapo ni kuweka method (functions) kwa ajili ya ku access hizo property

 

kama method itawekwa ndani ya class tutatumia $this keyword. Kama itakuwa nje hatutatumia. Sasa Wacha tuanze ya ndani ya class.

 

Tunaposema ndani ya class tunamanisha ndani ya mabano ya hiyo class Yako.

 

class gari {

//mwanzo wa class

function set_name($name){

$this->name = $name;

}

 

function set_speed($speed){

$this->speed = $speed;

}

 

function set_transition($transition){

$this->transition = $transition;

}

//mwisho wa class

}

 

Sasa tutakwenda kutengeneza function kwa ajili ya kupata value za Kila object. Function yetu ita return value ya object.

function get_name(){

return $this->name;

}

 

function get_speed(){

return $this->speed;

}

 

function get_transition (){

return $this->transition ;

}

 

Mpaka kufikia hapa tayari tumesha set propert za kila class yetu. ila bado hatujatengeneza object . hivyo sasa hatuwa inayofuata ni kutengeneza object
 

Object tunaweka nje ya class. Ili kutengeneza object tutatumia new keyword likifuatiwa na jina la class.

 

$toyota = new gari()

$speed = new gari()

$transition = new gari()

 

Mpaka kufikia hapo tumesha tengeneza object zeta tatu. Sasa kinachofuata ni kutengeneza method kwa ajili ya ku access hizo object ili kuzipa values. Tunaweza kurahisisha kwa kusema kuwa hatuwa inayofuata ni kuweka value kwenye object kutokana na propert zetu. prperty ni name, speed na transition.

 

$toyota -> set_name("toyota")

$speed ->set_speed("180")

$transition-> set_transition('manual')

 

Hapo tayari tumeshaipa Kila object value yake. Hatuwa inayofuata ni matumizi ya hizo object. Kwa mfano ngoja tuangalie value hizo

 

Code zote hizi hapa:

<?php 

 

class gari{

public $name;

public $speed;

public $transition;


 

function set_name($name){

$this->name = $name;

}

 

function set_speed($speed){

$this->speed = $speed;

}

 

...



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Imeandikwa na Rajabu Terehe 2023-11-16 Download PDF Share on facebook WhatsApp

RELATED POSTS

picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako
picha

Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za
picha

HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye
picha

Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye
picha

Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye
picha

katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database.
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na
picha

Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa
picha

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi
picha

Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog
picha

katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload multiple file