PHP somo la 49: utangulizi wa Object Oriented Programming katika PHP


image



Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP.



OOP ni kifurushi Cha maneno Object Oriented Programming. Huu ni mtindo wa ku code kwa kukusanywa function zote zinazofanana kwenye ukurasa Moja unaoitwa class Ili kueepuka Hali ya kurudis rudia code katika program.

 

Ili kuelewa vyema ni Nini OOP Wacha kwanza nikufundishe kuhusu programming paradigms.

 

Je ni Nini programming paradigms?

Hizi ni staili ama mitindo ambayo hutumika na ma programmer katika uandishi wa program. Kila staili ila faida na hasara zake, ia Kila Moja Ina maeneo ambayo inafaa zaidi kutumiwa.

 

Kuna paradigms zisizopinguwa nne ambazo ni:-

  1. Imperative programming
  2. Declarative programming
  3. Procedural programming
  4. Functional programming
  5. Object oriented


 

Faida kubwa ya kutumia OOP ni kufanya code zako ziwe DRY yaani Don't Repeat Yourself.

 

OOP ilianza kwenye PHP toleo la 5. Ina maana kabla ya hapo PHP ilitumia procedural programming tu. Baada ya kuonekana umuhimu wa OOP kama ilivyokuwa ikitukiwa na language zinginezo wakati huo.

 

Faida za OOP

  1. Ipo faster zaidi kuliko procedural
  2. Ni rahisi kuitumia zaidi na zaidi
  3. Ipo s...



    Je! umeipenda hii post?
    Ndio            Hapana            Save post

    Imeandikwa na Rajabu Terehe 2023-11-16 Download PDF Share on facebook WhatsApp

    RELATED POSTS

    picha

    katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database.
    picha

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za
    picha

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia
    picha

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase
    picha

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuzungumza na server
    picha

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama
    picha

    Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama
    picha

    Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa
    picha

    katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload multiple file
    picha

    Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable
    picha

    Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog
    picha

    HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye
    picha

    Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo
    picha

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza
    picha

    Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye
    picha

    Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu