PHP - somo la 23: Jinsi ya kutumia condition statement kwenye database kwa kutumia PHP


image



Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else kwenye data zilizopo kwenye database kwa kutumia PHP



Hapa tutakweda kujifunza jinsi ya kutumia condition sentence zile za if else if else. Kwenye mafunzo ya PHP level 1 somo la 10 tulishajifunza kutumia condition sentence. Sasa hapa tutakwenda kuona jinsi ambavyo tunaweza kuzitumia kwenye database. hapa nitakwenda kukufundisha kwa mifano:

 

 

Ni kuwa una Tsh 1300 na unataka kujuwa kwa pesa hiyo ni chakula gani utapata kwa hiyo menu. Kufanya hivi tutatengeneza html table yenye column 4 ya kwanza ni kwa ajili ya id, ya pili ni kwa ajili ya majina ya menu, ya tatu ni kwa ajili ya ststus, kuonyesha ambayo unapata itaandika YES na ambayo hupatu itaandika NO.

<html>

<body>

<style>

   table, th, td {

       border: 1px solid black;

   }

</style>

<table style="width:100%">

   <th>Id</th>

   <th>Menu zote</th>

   <th>Price</th>

   <th>Status</th>

 

Kisha kila kitu ni kama tulivyofanya huko mwanzo kwenye ku connect na ku select data ili uweze kuzisoma kwenye ukurasa wa wavuti. Tutatumie 

$sql = mysqli_query($conn, "SELECT * FROM `menu` ");

while($fetch = mysqli_fetch_array($sql)){

   ?>

   <tr>

 

       <td><?php echo $fetch['id']; ?></td>

       <td><?php echo $fetch['name']; ?></td>

       <td><?php echo $fetch['price']; ?></td>

 

Sasa katika <td> za status ndipo tutakwenda kutumia if else. Kusema kuwa kama price ni ndogo kuliko 1300 echo isome YES na vinginevyo isome NO

<td>

<?php

if ($fetch['price'] <1300){

   echo "<b>YES</b>";

}else echo "NO";

?>

</td>

 

Code zote zinaweza kuwa hivi

<?php

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";

$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);

?>

<html>

<body>

<style>

   table, th, td {

       border: 1px solid black;

   }

</style>

<table style="width:100%">

   <th>Id</th>

   <th>Menu zote</th>

   <th>Price</th>

   <th>Status</th>

   <?php

   $sql = mysqli_query($conn, "SELECT * FROM `menu` ");

   while($fetch = mysqli_fetch_array($sql)){

       ?>

       <tr>

 

           <td><?php echo $fetch['id']; ?></td>

           <td><?php echo $fetch['name']; ?></td>

           <td><?php echo $fetch['price']; ?></td>

           <td>

           <?php

           if ($fetch['price'] <1300){

               echo "<b>YES</b>";

           }else echo "NO";

           ?>

           </td>

       </tr>

   <?php }?>

</table>

 

</body>

</html>

 

 

Pia kwa mfano unataka kama price ni chini ya 1300 echo iseme Unapata, na kama ni zaidi ya 2000 echo iseme Bosi vinginevyo iseme Hupati. Hapa tutacheza na if, else if, else

<?php

if ($fetch['price'] <1300){

   echo "<b>Unapata</b>";

}else if ($fetch['price'] >2000){

   echo "Bosi";

}else echo "Hupati"

?>

 

Hii itakupa matokeo haya

 

Unaweza kufanyia mazoezi zaidi. Tukutane kwenye somo linalofuata tutakapojifunza Jinsi ya ku upload file kwenye database kwa kutumia php. Pia utajifunza kulisoma hilo faile uliloupload kwa kutumia php.



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Imeandikwa na Rajabu Terehe 2023-10-18 Download PDF Share on facebook WhatsApp

RELATED POSTS

picha

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za
picha

Katika somo hili utajifunza kuhusu cronjob na matumizi yake kwenye
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct
picha

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable
picha

Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO,
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili
picha

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza
picha

katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload multiple file
picha

Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama
picha

Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu