PHP - somo la 21: Jinsi ya kutafuta kitu kwenye database kwa mutumia PHP


image



Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu kwenye database kwa kutumia PHP



Kuandaa sql kwa ajili ya ku serarch

kwanza utatakiwa kuselect SELECT ikifuatiwa na column ya hiyo iten unayotaka kuisearch kulingana na mfano wetu ni name ikifuatiwa na FROM kisha jina la table kisha WHERE ksiah jina la column ambapo item uayoserarch ipo kisha LIKE kisha hicho unacho kitafuta kama ni ugali ila hakikisha unakiweka ndani ya ‘’ kama string.  mfano SELECT Name FROM menu where name LIKE ‘wali%’

 

Sasa hapa kuna japo alama ya % ikiwa mbele ya hiyo inayosearch (wali%) maana yake unatafuta neno linalomaliziwa na hicho unachoserarch. na ikiwa alama ya % utakaa mwano (%ugali) maana yake unatafuta neno litakaloanziwa na hicho unacho search. na ikiwa alama ya % itakaa mbele na nyuma  (%wali%)  ya hilo neno unalo search maana yake unatafuta neolo alililoanziwa ama kuishiwa na hicho unachosearch. 

Kwa maelezo hayo basi variable ya kusearch ugali inaweza kuwa hivi

 $sql = mysqli_query($conn, "SELECT name FROM `menu` where name LIKE '%wali'");

 

Kiachofuat ni kuandaa table ya HTML kwa ajili ya kupangilia muonekano. Pia andaa variable zako kwa ajili ya ku connect. kama kila kitu kipo sawa code zake zinaweza kuwa kama hivi

<?php

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";

$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);

?>

<style>

   table, th, td {

       border: 1px solid black;

   }

</style>

<table style="width:100%">

   <tr>

 

       <th>Name</th>

 

   </tr>

 

<?php

$sql = mysqli_query($conn, "SELECT name FROM `menu` where name LIKE '%wali'");

       while($fetch = mysqli_fetch_array($sql)){

       ?>

   <tr>

 

       <td><?php echo $fetch['name']; ?></td>

 

   </tr>

<?php }?>

</table>

 

Hii itakupa matokeo haya

 

Pia kufatuta kwa mtindo wa alphabeti kwa mfano ukasema nataka kuona majina yote yalioanziwa na heruzi u,  hapa itakuwa hivi (%u) ama majina yte yalioishiwa na herufi u (u%) ama majina yalioanziwa na u na kuishiwa na i (u%i)

 

Tutajifunza zaidi kuhusu mada hii kwenye muendelezo wa course ya database. Kwa sasa hapo unachotakiwa ni kufanya mazoezi kwa wingi ili iwe rahisi kuelewa masomo yanayofata..



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Imeandikwa na Rajabu Terehe 2023-10-18 Download PDF Share on facebook WhatsApp

RELATED POSTS

picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili
picha

Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa
picha

HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct
picha

Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else
picha

Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye
picha

Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye
picha

Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi
picha

Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na
picha

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na