PHP BLOG - somo la 4: Jinsi ya kutengeneza ukurasa kwa ajili ya kupost


image



Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form



Sasa tutakwenda kutengeneza html form kwa ajili ya ku post. Uurasa huu utauwa na sehemu ya ku upload picha. Pa sehemu ya kuchaguwa tarehe.

 

Uurasa huu tutatuita post.php. l upata maeleezo zad juu ya kutengeneza kurasa hizi rudi kwenye mafunzo yatu ya PHP. Pa tutatuma Cedtor plugin kwa ajili ya kuweka uwanja wa kuandika.

 

1. wanza tutatengeneza faili la css kwa ajili ya kuboresha muonekano wa ukurasa wetu.

Code hizo hapo chini

* {
box-sizing: border-box;
}
label {
padding: 12px 12px 12px 0;
display: inline-block;
}
input[type=text], select, textarea {
width: 100%;
padding: 12px;
border: 1px solid #ccc;
border-radius: 4px;
resize: vertical;
}
input[type=submit] {
background-color: #424ef5;
color: white;
padding: 12px 20px;
border: none;
border-radius: 4px;
cursor: pointer;
float: left;
}
input[type=submit]:hover {
background-color: #45a049;
}
@media screen and (max-width: 600px) {
.col-25, .col-75, input[type=submit] {
width: 100%;
margin-top: 0;
}
}

 

2. Kisha tutatengeneza faili sasa la html form kwa ajili ya kuandika post

Copy code hizo hapo chini 

<html>
<head>
<title>create your post</title>
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1">
<script src="https://cdn.ckeditor.com/4.16.2/standard/ckeditor.js"></script>
<script src="ckeditor.js"></script>
<link rel="stylesheet" href="style.css">
</head>
<body>
<form action="post_script.php" method="post" enctype="multipart/form-data">
<label for="title">Title</label><br>
<input type="text" name="title" placeholder="write your post title" id="title"><br>

<label for="summary">Summary</label><br>
<input type="text" name="summary" placeholder="write your post summary" id="summary"><br>

<label for="content">content</label><br>
<textarea name="content" id="content" placeholder="wrte your post content"></textarea>
<script>CKEDITOR.replace( 'content' );
</script>
<label for="publisher">publisher</label><br>
<input type="text" name="publisher" placeholder="write your post publisher" id="publisher"><br>

<label for="date">Date</label><br>
<input type="date" name="date" placeholder="write your post date" id="date"><br><br>

<label for="image">upload your image</label>
<input type="file" name="file" accept="image/*" id="image"><br><br>

<input type="submit" name="submit" value="submit">
</form>
<br><br>
</body>
</html>

 

MUONEKANO WA UKURASA

Baada ya kumalza kila kitu ukurasa wetu utaonekana hivi

 

Mwisho:

katika somo linalofuata tutakwenda kujifunza kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post.



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Imeandikwa na Rajabu Terehe 2023-10-20 Download PDF Share on facebook WhatsApp

RELATED POSTS

picha

Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake
picha

Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch
picha

Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ktumia baadhi ya
picha

Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye
picha

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia
picha

Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili
picha

Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi
picha

Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi
picha

katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload multiple file
picha

Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na
picha

katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct
picha

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye