PHP BLOG - somo la 3: Jinsi ya kutengeneza table kwenye databse kwa ajili ya blog


image



Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu



katika somo la pili ntulijifunza jinsi ya kutengeneza database. sasa katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table. Kumbuka kuwa database yetu inaitwa my_blog. Hivto ingia kwenye database kisha bofya palpoandwa new kisha utakuja uwanja wa kuandika jina la table pamoja na kuweka column. Fuatilia mafunzo yetu jinsi ya kutengeneza table kwenye bdatabase kwenye mafunzo ya database somo la 6 [1]

 

able yetu itakuwa na column saba ambazo ni 

1. id kwa ajili ya kuweka reference ama kama primary key

2. title kwa ajili ya kuandika vichwa vya habari vya post

4. summary kwa ajili ya kuandika muhtasari wa post

5. contente kwa ajili ya kuandika maudhui ya post

6. post_time kwa aji8li ya kuandika muda ambao post ilichapishwa

7. publisher kwa ajili ya kuandika jina la muandishi

8. image kwa ajili ya kuhifadhi taarifa za picha (cover image)

 

unaweza kufuata maelezo klutoka kwenye mafunzo etu ya databae somo la 6. Ama pest code hizo hapo chini kwenye SQL editor ya mysql

CREATE TABLE `blog` (

 `id` int(11) NOT NULL,

 `title` varchar(255) NOT NULL,

 `summary` varchar(255) NOT NULL,

 `content` text NOT NULL,

 `post_time` varchar(255) NOT NULL,

 `publisher` varchar(255) NOT NULL,

 `image` varchar(255) NOT NULL

) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8;

 

ALTER TABLE `blog`

 ADD PRIMARY KEY (`id`);

ALTER TABLE `blog`

 MODIFY `id` int(11) NOT NULL AUTO_INCREMENT;

COMMIT;

 

Mwisho

mapaka kufikia hapa tumesha tengeneza table yetu. Tukutane somo linalofuata tutajifunza jinai ya kuandika ukurasa kwa ajili ya kupost maudhui kwenye blog yetu.



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Imeandikwa na Rajabu Terehe 2023-10-20 Download PDF Share on facebook WhatsApp

RELATED POSTS

picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na
picha

Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika
picha

Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye
picha

Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse
picha

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object
picha

Katika somo hili utajifunza kuhusu cronjob na matumizi yake kwenye
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP.
picha

Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili