PHP BLOG - somo la 1: Utangulizi na jinsi ya kuandaa kwa ajili ya somo


image



Katika course hii utakwenda kujifundisha jinsi ya lutengeneza blog kutoka mwanzo hadi mwisho.



Hii ni course mpya inayotarajiwa kufundishwa kwenye mafunzo yetu. Lengo la course hii ni kukufundisha jinsi ya kutengeneza blog yako kwa kutumia PHP, HTML, CSS, SQL na MySQL databae.

 

Course hii ni rahisi na imetokana na mafunzo ya php level 3 pamoja na mafunzo ya database level 1. Kkabla hujaianza course hii hakikisha umepata mafunzo ya HTML, PHP na SQL kutoka kwenye mfaunzo yetu ya ICT.

 

Course hii itajikita kwenye mambo kadha kama:-

  1.  kutengeneza bloga mwanzo hadi mwisho backend na front end
  2. Kutengeneza system ya admin pannel ya blog
  3. kuweka mifumo ya notification, na teknolojia nyingine
  4. kutumia email kwa ajili ya kutuma taarifa kwa subscribers
  5. kuweza kuimarisha mfumo wa usalama katika blog
  6. ku encrypt na ku decrypt taarifa kwenye admin pannel
  7. mfumo wa kudhibiti mafaili ili kuweza ku download na ku share

Course hii itapatikana kwa njia ya text pia utaweza kuangaia video moja kwa moja kwenye channel yetu ya youtube tehama-tz

 

Mahitaji ya kujifunzia

Utahitajika kuwa na kifaa kama simu ama komputa ambayo imesha andaliwa kwa ajili ya kutumia php na database. Tunashauri utumie moja katika software hizi zifuatazo:

1. Kwa watumiaji wa Simu

Kama wewe unatumia simu basi fuata maelekezo haya ili kuweza kuandaa simu yako kwa ajili ya mafunzo. Hapa nitakuletea list za App ambazo inatakiwa uwe nazo. List hii nimeiweka katiuka vifungu viwili ambavyo ni:-

A. Text editor: Hakikisha una moja kati ya App hizi, kama si u yako itagoma utacheki nyingine.

1. Acode - code editor | FOSS (nakushauri uchukuwe hii)

2. DroidEdit (free code editor)

3. Code Editor- Program on Mobile

 

B. Local host server Hakikisha una moja kati ya server zifuatazo:- Ila ninakushauri uwe na hiyi ya kwanza hapo.

1. AWebServer ( Http Web Server  (nakushauri uchukuwe hii)

2. KSWEB: web developer kit

3. Web Server PHP/MyAdmin/MySQL

2. kwa watumiaji wa Kompyuta:

kama unatumia kompyuta basi nakushauri utumie moja kati ya software zifuatazo:-

A. Local host server

1. xamp  (Nakushauri uchukuwe hii)

2. wampserver

 

B: Text editor

1. Sublime text  (Nakushauri uchukuwe hii)

2. Notepad ++

Pia unaweza kutumia IDE kama PHPSTORM kutoka jetbrain kwa ajili ya kurahisisha uandishi wa code.

 



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Imeandikwa na Rajabu Terehe 2023-10-20 Download PDF Share on facebook WhatsApp

RELATED POSTS

picha

katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard
picha

Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika
picha

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array kwenye php, na
picha

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse
picha

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza
picha

katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku
picha

Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye
picha

Katika somo hil utawenda kujifunza jinsi ya ku edit post