Jinsi ya kutuma Email kwa kutumia PHP


image



Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php function ya email()



KUTUMA EMAIL:

Katika somo hili tunakqenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php. Kuna njia kama tatu za kutuma email kwa kutumia php. Ila katika somo hili .nitakufundisha njia moja ambayo ni kwa kutumai mail().

 

Njia hii ni nyepesi, ila itahitaji uwe umeshahost. Haifanyikazi kwenye localhost. Hivyo hakikisha unahost faili lako live ndipo liweze kufanya kazi.

 

Function hii ina sehemu kuu tano yaani parameta 5 ambazo ni:-

  1. To

  2. From

  3. Header

  4. Message

  5. Subject

 

To hii itabeba email ya mpokeaji wa hiyo email. From hutumika kubeba email ya mtumaji. Header hii hubeba meta information.kama wapi ukumbe umetoka, na wapi utaweza ku reply. Massage hapa ndipo ambapo utaandika meseji yako. Subject hubeba kicha cha habari. 

 

Mfano:

mail($to,$subject,$message, $headers)

  1. Wacha tuone jinsi ya kutuma plain text email:

<?php

$from = "non-reply@bongoclass.com";

$to = "josh@example.com";

$subject = "greetings from Bongoclass";

$message = "haloo karibu bongoclass";

$headers = "From:" . $from;

if(mail($to,$subject,$message, $headers)) {

   echo "Email imetumwa";

} else {

   echo "Email imeshindwa kwenda";

}

?>

 

Hapo kwenye josh@example.com utaweka emaili ya unayemtumia na hapo kwenye non-reply@bongoclass.com  utaweka emaili ya mtumaji. Nimrtumia if() ili kcheki kama ujumbe umetumwa ama laa. Kama umetumwa basi italeta ujumbe kuwa email imetuwa.    

 

Soma post nzima hapa



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Imeandikwa na Rajabu Terehe 2023-11-14 Download PDF Share on facebook WhatsApp

RELATED POSTS

picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza
picha

Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye
picha

Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct
picha

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ktumia baadhi ya
picha

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user
picha

Katika somo hili utajifunza kuhusu cronjob na matumizi yake kwenye
picha

Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza class na
picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object
picha

Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na
picha

Katika course hii utakwenda kujifundisha jinsi ya lutengeneza blog kutoka
picha

Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu