Somo hili linazungumzia homa ya matumbo, ugonjwa wa kuambukiza unaosababishwa na bakteria wa aina ya Salmonella typhi.
Somo hili linahusu ugonjwa wa kipindupindu – ugonjwa wa kuambukiza unaoathiri mfumo wa mmeng’enyo wa chakula na kusababisha kuharisha maji maji kwa kasi.
Katika somo hili utakwenda kujifunza sababu za kifua kikuu, dalili zake, njia za kujiepusha, na matibabu ya kifua kikuu.
Huu ni mfululizo mpya wa masomo yanayohusu maradhi yanayosababishwa na Bakteria