1. Sisi hakika tumekupa kheri nyingi za daima katika dunia na Akhera.

 

2. Ilivyo kuwa umepewa hayo, basi dumisha Sala kwa Mola wako Mlezi kwa usafi kabisa, na uchinje dhabihu wako kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa aliyo kupa ya ukarimu, na akakukhusisha wewe khasa kwa kukupa kheri.

 

3. Hakika huyo anaye kuchukia ndiye aliye katika na kila kheri.