Tarjuma ya Quran Tukufu kwa kiswahili

102.Surat At-Takaathur

 

image
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0

image
1. Kumekushughulisheni kutafuta wingi,
1

image
2Mpaka mje makaburini!

 
image
3. Sivyo hivyo! Mtakuja jua!
3

image
4. Tena sivyo hivyo! Mtakuja jua!
4

image
5. Sivyo hivyo! Lau mngeli jua kwa ujuzi wa yakini,
5

image
6. Basi bila ya shaka mtaiona Jahannamu!
6

image
7. Tena, bila ya shaka, mtaiona kwa jicho la yakini.
7

image
8. Tena bila ya shaka mtaulizwa siku hiyo juu ya neema.
8


 
Imetarjumiwa na Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani
Ikiwa una ushauri au maoni juu ya tarjuma hii, andika kwa anwani hii qurani-tukufu@geocities.com 
Copyright � 22 August 1997, Sheikh Ali Muhsin Al Barwani