Tarjuma ya Quran Tukufu kwa kiswahili

110.Surat An-Nasr


image
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
0

image
1. Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,
1

image
2. Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi,
2

image
3. Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.
3


Imetarjumiwa na Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani
Ikiwa una ushauri au maoni juu ya tarjuma hii, andika kwa anwani hii qurani-tukufu@geocities.com 
Copyright � 22 August 1997, Sheikh Ali Muhsin Al Barwani