Tarjuma ya Quran Tukufu kwa
kiswahili

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI
WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0

1. Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu,
1

2. Mfalme wa wanaadamu, 2

3. Mungu wa wanaadamu, 3

4. Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas, 4

5. Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu, 5

6. Kutokana na majini na wanaadamu. 6
Imetarjumiwa na Sheikh Ali Muhsin
Al-Barwani
Ikiwa una
ushauri au maoni juu ya tarjuma hii, andika kwa anwani hii [email protected]
Copyright � 22 August 1997, Sheikh
Ali Muhsin Al Barwani