Tarjuma ya Quran Tukufu kwa kiswahili

106.Surat Quraish


image
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0

image
1. Kwa walivyo zoea Maqureshi,
1

image
2. Kuzoea kwao safari za siku za baridi na siku za joto.
2

image
3. Basi nawamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii,
3

image
4. Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.
4


Imetarjumiwa na Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani
Ikiwa una ushauri au maoni juu ya tarjuma hii, andika kwa anwani hii qurani-tukufu@geocities.com 
Copyright � 22 August 1997, Sheikh Ali Muhsin Al Barwani