Tarjuma ya Quran Tukufu kwa kiswahili

111.Surat Al-Masad


image
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0

image
1. Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.
1

image
2. Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma.
2

image
3. Atauingia Moto wenye mwako.
3

image
4. Na mkewe, mchukuzi wa kuni,
4

image
5. Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa.
5


Imetarjumiwa na Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani
Ikiwa una ushauri au maoni juu ya tarjuma hii, andika kwa anwani hii qurani-tukufu@geocities.com 
Copyright � 22 August 1997, Sheikh Ali Muhsin Al Barwani