Tarjuma ya Quran Tukufu kwa
kiswahili

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI
WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0

1. Je! Umemwona anaye kadhibisha Malipo? 1

2. Huyo ndiye anaye msukuma yatima, 2

3. Wala hahimizi kumlisha masikini. 3

4. Basi, ole wao wanao sali, 4

5. Ambao wanapuuza Sala zao; 5

6. Ambao wanajionyesha, 6

7. Nao huku wanazuia msaada. 7
Imetarjumiwa na Sheikh Ali Muhsin
Al-Barwani
Ikiwa una
ushauri au maoni juu ya tarjuma hii, andika kwa anwani hii qurani-tukufu@geocities.com
Copyright � 22 August 1997, Sheikh Ali
Muhsin Al Barwani