Tarjuma ya Quran Tukufu kwa kiswahili

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI
WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0

1. Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. 1

2. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. 2

3. Hakuzaa wala hakuzaliwa 3

4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. 4
Imetarjumiwa na Sheikh Ali Muhsin
Al-Barwani
Ikiwa una
ushauri au maoni juu ya tarjuma hii, andika kwa anwani hii qurani-tukufu@geocities.com
Copyright � 22 August 1997, Sheikh
Ali Muhsin Al Barwani