Tarjuma ya Quran Tukufu kwa kiswahili

112.Surat Al-Ikhlaas


image
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0

image
1. Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.
1

image
2. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.
2

image
3. Hakuzaa wala hakuzaliwa
3

image
4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.
4


Imetarjumiwa na Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani
Ikiwa una ushauri au maoni juu ya tarjuma hii, andika kwa anwani hii qurani-tukufu@geocities.com 
Copyright � 22 August 1997, Sheikh Ali Muhsin Al Barwani