Tarjuma ya Quran Tukufu kwa kiswahili

105.Surat Al-Fiil


image
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0

image
1. Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?
1

image
2. Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?
2

image
3. Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi,
3

image
4. Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni,
4

image
5. Akawafanya kama majani yaliyo liwa!
5


Imetarjumiwa na Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani
Ikiwa una ushauri au maoni juu ya tarjuma hii, andika kwa anwani hii qurani-tukufu@geocities.com 
Copyright � 22 August 1997, Sheikh Ali Muhsin Al Barwani