Tarjuma ya Quran Tukufu kwa kiswahili

113.Surat Al-Falaq


image
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
0

image
1. Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko,
1

image
2. Na shari ya alivyo viumba,
2

image
3. Na shari ya giza la usiku liingiapo,
3

image
4. Na shari ya wanao pulizia mafundoni,
4

image
5. Na shari ya hasidi anapo husudu.
5


 
Imetarjumiwa na Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani
Ikiwa una ushauri au maoni juu ya tarjuma hii, andika kwa anwani hii qurani-tukufu@geocities.com 
Copyright � 22 August 1997, Sheikh Ali Muhsin Al Barwani