Tarjuma ya Quran Tukufu kwa
kiswahili

KWA JINA LA
MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0

1. Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko,
1

2. Na shari ya alivyo viumba, 2

3. Na shari ya giza la usiku liingiapo, 3

4. Na shari ya wanao pulizia mafundoni, 4

5. Na shari ya hasidi anapo husudu. 5
Imetarjumiwa na Sheikh Ali Muhsin
Al-Barwani
Ikiwa una
ushauri au maoni juu ya tarjuma hii, andika kwa anwani hii qurani-tukufu@geocities.com
Copyright � 22 August 1997, Sheikh
Ali Muhsin Al Barwani