Faida za kiafya za kula korosho

  1. husaidia kuimarisha afya ya misuli na mishipa ya neva (mishipa ya fahamu)
  2. Hupunguza hatari ya kupata kisukari
  3. Husaidia matibabu ya saratani
  4. Husaidia katika utengenezwaji wa seli hai nyekundu za damu
  5. Huimarisha mfumo wa kinga
  6. Husaidia katika kuimarisha afya ya kinywa (meno ) na mifupa
  7. Hupunguza athari za maradhi ya anaemia yaani upungufu wa hewa ya oksijeni mwilini
  8. Hupunguza hatari ya kutengenezwa vijiwe kwenye kibofu