Al-Arba uwn An-Nawawiyyah hadithi ya 7: Nasaha katika dini


image



Post hii itakufundisha umuhimu wa nasaha katika dini

عن أبي رُقَيَّةَ تَمِيمِ بنِ أوْسٍ الدَّارِيِّ رضي اللهُ عنه: أَنَّ النَّبي صلى الله عليه وسلم قالَ:((الدِّينُ النَّصِيحَةُ)). قُلْنَا: لِمَنْ ؟ قالَ: ((للهِ، ولِكِتَابِهِ، ولِرَسُولِهِ، ولِلأَئِمةِ المُسْلِمِينَ، وعامَّتِهِمْ)) رَوَاهُ مُسْلِمٌ    


 

Imepokelewa kutoka kwa Abuu Ruqayyah Tamiymi Ibn Aws Addaarriy (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Dini ni nasiha.”  Tukauliza: Kwa nani? Akasema: “Kwa Allaah na Kitabu Chake, na Rasuli Wake, na kwa viongozi wa Waislamu na watu wa kawaida.” [Muslim]

 



Imeandikwa na Rajabu Terehe 2023-09-09

RELATED POSTS

picture

AL-ARBA-UWN AN-NAWAWIYYAH HADITHI YA 5: KUJIEPUSHA NA UZUSHI KATIKA DINI

Hadithi hii inakataza kuzusha mambo ambayo hayapo katika dini
picture

AL-ARBAUWN AN-NAWAWIYYAH HADITHI YA 2: UJIO WA JIBRIL KWA MTUME (S.A.W)

Hii ni hadithi ya pili katika kitabu cha Arbain Nawawiy
picture

AL-ARBAUWN AN-NAWAWIYYAH HADITHI YA 6: UBAINIFU WA HALALI NA HARAMU

Post hii inakwenda kukupa tahadhari juu ya mambo ya halali na mambo ya haramu.
picture

AL-ARBA’UWN AN-NAWAWIYYAH HADITHI YA 1: NIA

huu ni mwanzo wa kitabu hiki cha Matn arbaina Naway
picture

JINSI YA KUTOA SALAMU KATIKA UISLAMU

MAkala hii itakwenda kukufundisha jinsi ya kutoa salamu kwenye uislamu
picture

AL-ARBAUWN AN-NAWAWIYYAH HADITHI YA 4: UUMBWAJI WA MWANADAMU

HAdithi hii itakufundisha namna ambavyo mwanadamu anapitia hatuwa mbalumbali tumboni mwa mama yake
picture

AL-ARBAUWN AN-NAWAWIYYAH HADITHI YA 3: NGUZO ZA UISLAMU

Katika hadithi hii utakwenda kujifunza nguzo za uislamu