SURA YA KWANZA

Ulipokuwa unaondoka, kwa ghafla unajikwaa kwenye kisiki, ukiwa unaugulia maumivu ukagundua eneo hili kama unalitambua vyema...

Unajaribu kukumbuka vyema.... AHHHNHA

Unatambuwa saa,,,, siku tatu zilizopita ulikuja na baba yako hapa. Unakiendea kichaka unachokifahamu vyema. Unachimba chnini na kukuta zege

NAAM!!!!! Unakumbuka sasa hapa mahala...

Endelea..