Faida za kiafya za kula Nyanya

Faida za kiafya za kula Nyanya



Faida za kiafya za nyanya

  1. ni chanzo kizuri cha virutibisho kama protini, sukari, fat na pia nyanya zinatupatia maji
  2. Pia ni chanzo cha vitamini C, K1 na B9. Pia tunapata madini ya potassium
  3. Ni nzuri kwa afya ya moyo
  4. Huzuia kupata saratani
  5. Ni nzuri kwa fya ya ngozi
  6. Ni nzuri kwa afya ya macho
  7. Huzuia tatizo la kukosa choo
  8. Ni nzuri kwa wenye kisukari


                   



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2018-08-01     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 116


Download our Apps
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-