SIOKOSA
Siokosa kwa mpenzi, kusoma tabia zako, Siokosa tangu enzi, nahayo yalikuweko, Siokosa saahizi, wala sionwe kituko, Siokosa nihalali, muache ajiridhishe, Siokosa kwa mkeo, kulijua chumo lako, Siokosa juwa leo, muambie namwenzako, Siokosa ndio cheo, anahaki hio kwako, Siokosa nihalali, muache ajiridhishe, Siokosa kwamchumba, kupima uwezo wako, Siokosa siushamba, vitabuni pia liko, Siokosa wala pumba, kuleta maswali kwako, Siokosa nihalali, muache ajiridhishe, Siokosa hilipia, kucheza na mkewako, Sikosa kukufanyia, japo madeko madeko, Sikosa akikwambia, apande mgongo wako, Siokosa nihalali, muache ajiridhishe, by.HD.Hassan
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa
Mwandhishi Tarehe 2018-08-01 Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 151
Download our Apps
👉1 Kitau cha Fiqh
👉2 kitabu cha Simulizi
👉3 Kitabu cha Afya
👉4 Madrasa kiganjani
CHEMSHABONGO NA BONGOCLASS
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet. Soma Zaidi...
HISTORIA YA NABII YUSUFU(A.S.): Ndoto ya nabii Yusufu
Mtume Yusufu(a. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 12
8. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 03
Tatua mzozo wa NI NANI MUUAJI? Soma Zaidi...
HADITHI YA CHONGO WA TATU MTOTO WA MFALME
Download kitabu Hiki Bofya hapa HADITHI YA CHONGO WA TATU MTOTO WA MFALME Mimi ni mtoto wa mfalme kama nilivyotangulia kusema na ni mtoto wa kipekee kwa baba na mama. Soma Zaidi...
HADITHI YA CHONGO WA PILI MTOTO WA MFALME
Download kitabu Hiki Bofya hapa HADITHI YA CHONGO WA PILI MTOTO WA MFALME. Soma Zaidi...
ALIF LELA U LELA: UTANGULIZI
ALIF LELA U LELA. Soma Zaidi...
hatima ya kinyozi
Soma Zaidi...
HADITHI YA KISIWA CHA MAWE YANAYOLIA
Download kitabu Hiki Bofya hapa HADITHI YAKISIWA CHA MAWE YANAYOLIA. Soma Zaidi...
KWENYE BOSTANI LA MFALME WA
KATIKA BOSTANI LA KIFALME BAGHADADBasi Nurdini na mke wake bila hata ya kujuwa wapi watafikia waliingia kwenye mashua na kuwasili Baghada wakati wa jioni. Soma Zaidi...
SIRI
Baada ya kutulia vizuri unaanza kukumbuka umefikaje hapa kwenye misitu. Soma Zaidi...